Genesis 29:33
33Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Kwa sababu Bwana alisikia kwamba sipendwi, amenipa tena huyu mwana.” Kwa hiyo akamwita Simeoni. ▼▼ Simeoni maana yake Anasikia, yaani sasa ataungana nami kama Raheli.
Copyright information for
SwhKC